LYRICS 
 
Nilipokua jana 
Sipo nilipo leo 
Si kwa ujanja wangu Baba aah 
Ata walipo nikana 
Ulibaki na mimi 
Nina kushukuru sana 
Ni wewe milele kipekee nina kuabudu 
Nisamehe nikikosa nikiwama unipe majibu 
Ni wewe milele kipekee nina kuabudu 
Nisamehe nikikosa nikiwama unipe majibu 
 
Umesababisha najidai Umesababisha nafurahi 
Natembea kifua mbele amen 
Kwa hizi baraka na uhai 
Baba sina cha kukudai Aloniweka weka hapa ni wewe 
 
Acha nikusifu milele amina 
Milele amina milele amina ehh 
Acha nikusifu milele amina 
Baba milele amina milele amina ehh 
 
Naona ka nina bahati 
Kwa yote uliofanya ohh thank you Lord 
Miujiza mbele yako na piga goti 
Naona ka nina bahati 
Kwa yote uliofanya ohh thank you Lord 
Miujiza mbele yako na piga goti 
Wee ndo unaejua Napokanyaga napotembea 
Na kila hatua dua Napopata napokosea 
Wee ndo unaejua Napokanyaga napotembea 
Na kila hatua dua Napopata napokosea 
 
Umesababisha najidai 
Umesababisha nafurahi 
Natembea kifua mbele amen 
Kwa hizi baraka na uhai 
Baba sina cha kukudai 
Aloniweka weka hapa ni wewe 
 
Acha nikusifu milele amina 
Milele amina milele amina ehh 
Acha nikusifu milele amina 
Baba milele amina milele amina ehh 
 
Kama machozi 
hayatoki tena Umeniokoa baba wee ni mwema 
Nakuita mwokozi nakosa cha kusema 
We ndo nambari moja nakupenda daima 
Kuna mikasa na visa aah 
Haya maisha ni vita ahh 
Bado uko na mimi oohh 
Mkono wangu umeushika ahh 
Haujawai kuniwacha ahh 
Nitakusifu milele baba wa mbinguni 
 
Acha nikusifu milele amina 
Milele amina milele amina ehh 
Acha nikusifu milele amina 
Baba milele amina milele amina ehh