 
				 
												 
												 
												
												Unawasha moto ata bila kuwa na kibiriti  
We hufanya nini ndio ukaange tu fiti hivi  
Aki mama  
Mpaka moyo wangu unasimama  
Na ungekuwa chakula mpenzi wangu ningeweka nyingi  
Kupata mchuzi kama wako manze si rahisi  
Aki mama  
Staki tena mi kukudanganya   
Juu mi hukuonea mbali nakuwanga na tamaa  
Ni venye sijawahi sema sitakangi drama  
Je uko na chali ama uko single  
Na ka uko single pia naeza dai tumingle   
  
PRECHORUS  
Aaah na itakuwa uchungu sana ukinilenga  
Juu kwa ndoto zangu, we ukuwanga wangu  
  
CHORUS  
Na si upendana for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real   
For real   
Njoo basi ukuwe wangu for real  
  
VERSE 2  
Kidegee Kidegee, tumepanda matatu lakini kesho ndege  
Aaah  
Mpenzi mi ni mi na wewe  
Juu hii safari joh sioni bila wewe  
La  
Salama salimin, nataka niwe wako   
Fumba na ufumbue macho  
Nataka niwe wako  
Njoo unitulizie mawazo  
Nataka penzi lako  
Kuja nimefungua mlango  
Iko wazi juu yako  
  
PRECHORUS  
Aaah na itakuwa uchungu sana ukinilenga  
Juu kwa ndoto zangu, we ukuwanga wangu  
  
CHORUS  
Na si upendana for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real   
For real   
Njoo basi ukuwe wangu for real  
Na si upendana for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real  
Nataka ukuwe wangu for real, for real   
For real   
Njoo basi ukuwe wangu for real  
  
OUTRO   
Uwe wangu uwe wangu  
uwe wangu uwe wangu uwe wangu  
kuwa wangu ma   
uwe wangu uwe wangu  
Aaah wangu   
uwe wangu uwe wangu   
uwe wangu uwe wangu  
#Watendawili #Forreal											
