Lyrics
Chorus [ Fathermoh ]

Benga na mugithi
Nakaguza goshodo kanalilia zizi
Pewa chupa kushoto kulia choma doobie
Lewa anguka simama ongezewa mbili
Benga na mugithi (githi)
Hii ni doba inafanya uskie dhidhi (dhidhi)
Alakas ona nyuma Ina bidii (bidii)
Hii ni kali mnaimba juu inabidi (ayayaaa)

Verse 1 [ Swat ]

Enzi za moi ka ni ras ni mungiki
Enzi za Kibaki ka ni dredi we ni mwizi
Enzi za uhuru dredi zikapewa huru
Sikuhizi nko na dredi mi ni ras mi si mwizi
Sikuhizi nko na dredi mi ni ras si mungiki
Madam amka tuzitoke ki Mugithi
Utakata bale ama utakata chingri
Madam amka tuzitoke ki mugithi


Chorus [Fathermoh]

Benga na mugithi
Nakaguza goshodo kanalilia zizi
Pewa chupa kushoto kulia choma doobie
Lewa anguka simama ongezewa mbili
Benga na mugithi (githi)
Hii ni doba inafanya uskie dhidhi (dhidhi)
Alakas ona nyuma Ina bidii (bidii)
Hii ni kali mnaimba juu inabidi (ayayaaa)

Verse 2 [ Joefes ]

Benga na mugithi
Tingigisha bega ruka nikama zip imeshika fudhi
Nimekuja na mbogi chunga sana usiniudhi
Usiwashe bangi hapa nyumba ni ya makuti
Cheza fela kuti mkia ndo sivuti
Moshi ya leo nzito joh kuliko jana
After marijuana ndo wengi tulijuana
Chini ya maji mi hufanya ka yohana
Bana

Recently Listened by

0 comments
    No comments found

:: / ::
::
/ ::

Queue